Envaya

Hii ni hatua mbalimbali katika kufanya tafiti mbalimbali ikiwemo hali ya mazingira na uharibifu wa uoto wa asili.

Juhudi mbalimbali zinafanywa na serikali lakini kutokana na kuwepo kwa changamoto mbalimbali za maendeleo taarifa nyingi jamii hasa wa vijijini wanakosa kuzipata.Asasi ya CHACODE imedhamiria kuwa kiungo

madhubuti katika kuongea na wananchi kujua kero na changamoto zao ili kujenga utetezi kwa mamlaka husika.

2 Machi, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.