Envaya

large.jpg

Mwalimu wa zamu (kushoto), mkurugenzi mtendaji (katikati) na afisa mshauri (kulia) wa asasi ya Bright Light wakiwa katika zoezi la kubaini watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi katika shule ya msingi Mkoani hapa Geita.

14 Desemba, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Bibiana Moshi (Geita) alisema:
Kazi yenu siyo bure, jipeni moyo Bwana atawalipa.
15 Desemba, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.