Mwalimu wa zamu (kushoto), mkurugenzi mtendaji (katikati) na afisa mshauri (kulia) wa asasi ya Bright Light wakiwa katika zoezi la kubaini watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi katika shule ya msingi Mkoani hapa Geita.
14 Desemba, 2012
Mwalimu wa zamu (kushoto), mkurugenzi mtendaji (katikati) na afisa mshauri (kulia) wa asasi ya Bright Light wakiwa katika zoezi la kubaini watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi katika shule ya msingi Mkoani hapa Geita.
Maoni (1)