mkurugenzi mtendaji wa asasi ya Brightlight Organization wa tatu kutoka kushoto ndugu Mathew Daniel akiwa na timu ya watafiti kutoka katika vyuo mbalimbali vya maendeleo ya kijamii nchini Tanzania.
Wanafunzi wakiwa katika majadiliano wakati wa vipindi vya jioni hapa kituoni Bright Light mkoani Geita.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani hapa kituoni Bright Light.Wakati masomo yakiendelea.
Mwenyekiti wa asasi ya Bright Light Mch. Robert Ngai (wa tatu kutoka kulia) akiwa na watumishi wa kituo cha elimu cha Bright light siku ya kumuaga mwl. Polle George (wa nne kutoka kulia).
Walimu na wanafunzi wa kituo cha elimu cha Bright Light wakati wa kumuaga mwalimu Polle George(wa tano kutoka kushoto).
Baadhi ya vituo vya asasi ya Brightlight vinavyotoa elimu mkoani Geita.