Envaya

large.jpg

1 Septemba, 2011
« Iliyotangulia

Maoni (1)

Baadh ya miradi ya ALECO inahusisha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, watoto yatima na watoto wa mitaani. Hao ni baadhi ya watoto wanao lelewa na shirika la ALECO kama wanavyo onekana pichani. Wakiwa na mwallimu wao Anna Paulo katika kijiji cha sigunga mkoani Kigoma
1 Septemba, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.