Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Kule dodoma hasa vijijini wanahitaji msaada twendeni tukatoe elimu kumbuka elimu ni mtaji mkubwa kuliko mabilioni ya fedha karibuni wadau wa maendeleo na wakeleketwa wa maendeleo.
April 21, 2017
Kule dodoma hasa vijijini wanahitaji msaada twendeni tukatoe elimu kumbuka elimu ni mtaji mkubwa kuliko mabilioni ya fedha karibuni wadau wa maendeleo na wakeleketwa wa maendeleo.
Comments (3)
Madawa ya asili ni bora zaidi kuliko madawa ya viwandani kwani sumu yake ni kidogo na hupungua haraka baada ya kupiga dawa. Hivyo ni salama zaidi kwa mpigaji dawa na mlaji mboga. Hivyo kupendekezwa katika kilimo hai na hifadhi ya mazingira.
Kasoro kubwa katika kutumia madawa ya asili ni kwamba hayajafanyiwa utafiti wa kutosha ukilinganisha na yale ya viwandani. Mfano, nitumie dawa ipi inayofaa kwa mdudu yupi?. Nguvu yake ni kidogo, hayatafaa kuzuia mashambulizi makubwa ya magonjwa au wadudu vilevile yanakinga zaidi mboga dhidi ya wadudu waharibifu kuliko magonjwa.Pia uwiano wa kuchanganya dawa na maji bado haujulikani vizuri. Mfano, niweke kiasi gani cha dawa katika kiasi gani cha maji ?..
Mwanga wa jua unapopiga Paneli za Jua kwa chembe za miali yake zinazojulikana kama fotoni (Kwa kiingereza photons),panaeli za jua hubadili fotoni hizo kuwa electroni zinazofanya mkondo mnyoofu wa umeme-aina hii ya umeme inaitwa Umeme Jua.
Electroni hizi hutoka katika paneli na kuingia katika kifaa kiitwacho Inveta ambacho huubadili kuwa mkondo geu wa umeme.
Huu ni umeme ambao hutumika na vifaa vingi vya majumbani kama pasi,taa ,redio na TV.
Seli za Jua
Seli za nishati ya jua zinaundwa na paneli za umbo mraba zilizotengenezwa na madini ya silikoni na mengine yenye kupitisha umeme.
Mwanga wa jua unapopiga seli hizi,athari za kikemikali husababisha elektoni kutoka na kuzakisha mkondo wa umeme.
Seli hizi zinaitwa kitaalamu “Photovoltaic Cells” au “PV Cells” ambazo hutumika pia katika vifaa kama mashine za hesabu,saa au kompyuta ndogo.
umeme-jua_seli